.

Friday, April 29, 2011

"SIJALALA NAKUSANYA NGUVU ZA KUKATA MAJANI"

  Bwana Frank akiwa amejipumzisha kabla ya kuanza kukata majani maeneo ya Ilala. Yawezekana kabisa jamaa amesahau ule msemo "USIFUGE WANYAMA MJINI" maana hawatapata malisho mazuri kama vijijni, huku mjini watakula lami.

No comments:

Post a Comment