.

Monday, August 15, 2011

TUSKER PROJECT ALL STARS YAMALIZIKA........!!!!!MSECHU ASHINDA........


Peter Msechu wa Tanzania

Shindano la Tusker All Stars lililoanza 26 June,2011 limefikia fainali jana kwa washindi watatu kupatikana ambapo Alpha Rwirangira toka Rwanda (TPF 3 - Winner),Peter Msechu toka Tanzania (Mshindi wa 2 – TPF 4) na Davis Ntare toka Uganda (TPF 4 – Winner) wameibuka washindi na wamepata shavu la kupiga show same stage na wasanii wa kimataifa baadaye mwaka huu nchini Kenya.

Alpha Rwirangira toka Rwanda (TPF 3 - Winner)

Washiriki wengine walikua Hemedi Suleiman toka Tanzania,Caroline Nabulime na Amileena Mwenesi toka Kenya,Bernard Ng'ang'a na Patricia Kihoro toka Kenya walishiriki na walikaa wiki 8.

Davis Ntare toka Uganda (TPF 4 – Winner)

No comments:

Post a Comment