.

Monday, August 15, 2011

CHAMELEONE ABADILI DINI.........!!!!!


Chameleone akiwa anapongezwa

Mwanamuziki nguli nchini uganda Jose Chameleone ameamua kubadilisha dini na kuwa muislamu ambapo alisilimu kwenye msikiti wa Kibuli jijini Kampala na amedilisha jina la Joseph na kujiita Gadaffi.

Akiwa katika matukio tofauti ndani ya msikiti wa Kabul

No comments:

Post a Comment