.

Tuesday, August 23, 2011

MBUNGE ALIYEPATA AJALI AFARIKI DUNIA............

Marehemu Maalim Musa Silima
Gari alilopatia ajali 

Mbunge wa bunge la Tanzania kutoka baraza la wawakilishi (CCM) Mh. Maalim Musa Silima aliyepata ajali mbaya ya gari juzi katika eneo la Mzuguni mkoani Dodoma akiwa na familia yake ambapo mke wake Bi. Mwanaheri Alli alifariki papo hapo amefariki dunia leo mchana.

No comments:

Post a Comment