.

Thursday, July 21, 2011

RIHANNA AKIKATA MITAA NA KIVAZI CHAKE.................


Mwimbaji wa R&B Rihanna amejikuta akiwaacha wakazi wa New Jersey Marekani mshanga kutokana na kuvaa kivazi cha mitego na kutembea nacho mtaani.


Nyota huyo anayetamba na kibao cha S&M  alionekana akikata mitaa bila wasiwasi wakati wengine walidai alikuwa anatafuta chumba cha kulala lakini hakuweza kulala hapo na badae kurejea jijini New York.

No comments:

Post a Comment