.

Friday, July 15, 2011

JAJI MWENYE HURUMA NCHINI MAREKANI

Jaji mwenye huruma nchini Uingereza amewashangaza watu waliokuwa mahakamani baada ya kuhairisha hukumu ya  kwenda jela ya mama mmoja ili aende kwanza nyumbani kuwaaga watoto wake kabla ya kuswekwa jela.

Jaji huyo John Wait aliafiki kuwa mama huyo Sandra Hook aliyekuwa mhasibu na kuiba paundi elfu 25 za halmashauri, kuwa anapaswa kwenda kuwakumbatia watoto wake na kuwaga kabla ya kifungo.


 
                                                                   Sandra Hook
Jaji huyo wa mahakama ya Wolverhampton Crown alilazimika kuiharisha hukumu hiyo hapo jana hadi leo, ili mama huyo akawaage wanae na kuwaambia hatorudi tena nyumbani kwani anakabiliwa na kifungo jela.

No comments:

Post a Comment