.

Monday, May 9, 2011

"TUPENI UBINGWA WETU JAMANI"

Manchester United inahitaji pointi moja kutangazwa bingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kushinda mchezo wake dhidi ya Chelsea kwa mabao 2-1.
Magoli ya Havier Hernandez katika dakika ya kwanza na bao la kichwa la Nemanja Vidic yaliipa ushindi muhimu kwa Manchester United kusogelea ubingwa.
Goli pekee la Chelsea lilifungwa na Frank Lampard.
United walitawala zaidi kipindi cha kwanza, huku Chelsea wakipigana kufa na kupona katika kipindi cha pili.
Man United itakutana na Blackburn Jumamosi ijayo.

No comments:

Post a Comment