.

Monday, May 9, 2011

BABA HAJI ATOA TALAKA BILA KIFICHO.

Haji Adam au Baba Haji a.k.a "Peoples Choice"  wa pili kushoto waliokaa, nguli wa kiwanda cha filamu bongo, tarehe 7/5/2011 ametoa rasmi talaka kwa mzazi mwenziye baada ya kutoelewana kwa kipindi kirefu. Akiongea kwa jazba mzazi mwenziye huyo aliyezaa naye mtoto mmoja na Haji, alilamika kua hapati matunzo mazuri kutoka kwa mumewe huyo kwa kipindi kirefu sasa. Kwa upande wa Baba Haji yeye alisema si kweli maneno ya mzazi mwenziye kwani amekua akimhudumia kama mke halali kabisa wa ndoa kama diani yake inavyoamuru.
 Hata hivyo pamoja na kupewa talaka hiyo, mzazi huyo alisema sakata halitaishia hapo kwani atafanya kila mbinu kumchafua mzazi mwenziye huyo kwenye vyombo vya habari ili kumshikisha adabu.
 Baba Haji naye akajibu hatojali hata alienda wapi kwani ameshatoa talaka ametoa, anachoangalia sasahivi ni masomo yake.

No comments:

Post a Comment