.

Monday, May 9, 2011

"JAMANI SIOI MAPEMA KAMA MNAVYONADHANI".

Chris Brown kuptia mtandao Twitter alizima uvumi uliokua umezagaa kuwa alimuomba mpenzi wake waoane wakati wa sikuu za Easter...


CHRIS BROWN AKIWA NA 'DEM WAKE' KARRAUCHE TRAN

Chis Brown inasemekana kuwa alimuambia dem wake Karrauche Tran kupitia kwenye simu kuwa anamuomba waowane lakini hakuwa na pete kwa wakati huo na mdada huyo kukubali,lakini Chris Brown akafunguka kuwa yeye ni mdogo sana kujihusisha na hizo issue za kuoa kwa sasa coz ndio kwanza ana miaka 21 tu!

No comments:

Post a Comment