.

Monday, May 2, 2011

KILA KINYOZI ANA KINYOZI WAKE.

Aaron Ramsey akishangilia goli lake la pekee aliloifungia washika bunduki wa London Arsenal The Gunners dhidi ya wapinzani wao Mashetani wekundu Manchenster United. Ramsey ambaye alikua majeruhi wa muda mrefu na kuweza kuipatia timu yake goli pekee na la ushindi. Arsenal ilishinda 1-0

No comments:

Post a Comment