.

Wednesday, May 18, 2011

Bob Marley & The Wailers ilikuwa bendi ya muziki wa reggae ambayo ilianzishwa na Bob Marley mnamo 1974, baada ya Peter Tosh na Bunny Wailer kuondoka katika bendi ya awali, The Wailers. Ndugu wawili Carlton (ngoma) na Aston "Family Man" Barrett (besi) – ambao walijiunga na The Wailers miaka minne kabla – wameamua kubaki na Marley.
Barret ndugu awali walipiga na Wailers wakati wapo kwenye studio ya Lee "Scratch" Perry na bendi ya The Upsetters [1]
Bob Marley & The Wailers inaunganishwa na Bob Marley mwenyewe akiwa kama mpiga gitaa, mtunzi wa nyimbo na mwimbaji kiongozi wa bendi, kina Wailers Band ipo kama bendi saidizi, na kina I Threes wakiwa kama waimbaji wasaidizi. The Wailers Band inajumlisha ndugu wawili ambao ni Carlton na Aston "Family Man" Barrett katika upande ngoma na besi kwa ujumla, Junior Marvin na Al Anderson yupo kwenye upande wa gitaa kuu, Tyrone Downie na Earl "Wya" Lindo kwenye upande wa vinanda, na Alvin "Seeco" PattersonRita Marley, Judy MowattMarcia Griffiths. kwenye upande wa tumba. The I Threes, wanasindikizana na mke wa Bob Marley na
Wakati mwingine, hasa kwa sababu za kimasoko, rekodi hizi hutofautisha kwa ajili ya "Bob Marley", "The Wailers", au "Bob Marley & the Wailers".

No comments:

Post a Comment