.

Friday, August 19, 2011

JIM IYKE NA KATE HENSHAW NUTTAL WATEMWA DILI LA NOTI..........

Jim Iyke
Kate Henshaw Nuttal

Wakali wa filamu kutoka Nigeria Jim Iyke na Kate Henshaw Nuttal wametemwa katika dili la fedha za nchi hiyo la mamilioni ya naira la kuwa balozi wa Globacom ambapo mkataba wao na kampuni hiyo umefikia kikomo na wameafikiana kutoendelea nao tena.

Kunle Afolayan

Wakati huo huo nyota wa Nollywood pamoja na maprodyuza Odunlade Adekola na Kunle Afolayan wameteuliwa rasmi kuwa mabalozi wapya wa Glo na watalipwa naira milioni 10 kwa mwaka.

Odunlade Adekola

No comments:

Post a Comment