.

Wednesday, March 9, 2011

WANAWAKE TUACHE TABIA ZA KUWAKOMOA WANAUME


     Kunabaadhi ya wanawake wamekuwa na tabia za ajabu  endapo mwanaume atamtamkia kuwa anamuitaji kimapenzi. Ukweli ni tabia mbaya sana kwani unamkomoa hujuwi analengo gani kwako  inawezekana akawa mumeo badae  na wewe ulishamkomoa siku za nyuma. Labda utajiuliza kumkomoa mwanaume kwa njia gani ?   Unamkuta mwanamke anaitwa  sehemu na mpenzi wake ambae wanaanza mapenzi basi anawapitia shoga zake na kwenda sehemu alioitwa akifika watakula na kunya bila kujuwa yule kiumbe wawatu kama anapesa au hana , ukweli si vizuri kufanya hivyo kwani uko ni kumkomoa  wanaume na kuomba pesa mara kwa mara  .Achani kuwakomoa wanaume na kama humtaki basi acha kumbomoa  tabia mbaya wanawake wenzetu  tubadilike.  Kwaleo tuishie hapa

No comments:

Post a Comment