.

Wednesday, March 9, 2011

MAMBOYOTE LOLIONDO

 JAMANI KAMA MGONJWA WAKO YUKO HOSPITAL USIMKATISHE MATIBABU
Loliondo hapatoshi kama utakuwa mfatiliaji mzuri wa vyombo vya habari hili si jambo  geni kwako .Loliondo kwa Mchungaji  mstaafu Ambilike Ambwakise  kwa kupata  dawa ya mitishamba na kupona  pia dawa hiyo huambatana na maombi  kwa imani yako utapona . watu wengi wamejitokeza na kukimbilia kwa baba  ukweli foleni haifai na tiba inatolewa kwa kiasi kidogo cha pesa shilingi 500 tu.

Jamani wagonjwa tuko wengi  wote hawa wanasubiri huduma

hapa dawa inaandaliwa
 
Hapa dawa ipo tayari kwa  kunywa


No comments:

Post a Comment