.

Wednesday, August 10, 2011

WATOTO WENYE VIPAJI VYA AJABU..........!!!!!!!!!!



Huyu anaitwa Akane Nikuura ni mtaalamu wa kuonja pombe.


Huyu ni Sindhuja Rajaraman amekuwa mtendaji mkuu (CEO) wa kampuni moja kubwa akiwa na umri wa miaka 14.

Mtoto mtaalamu wa kuchora tatoo ana miaka minne.

No comments:

Post a Comment