.

Wednesday, May 4, 2011

"TUNATAKA UBINGWA"

Barcelona imejikatika tiketi ya kucheza fainali ya michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya 1-1 na Real Madrid kwenye mchezo wa pili wa nusu fainali.
Katika mchezo wa kwanza uliojaa na misukosuko Barcelona ilipata ushindi wa mabao 2-0.
Pedro aliipatia Barcelona goli hilo, huku Marcelo akisawazisha bao hilo.
Barcelona sasa watapambana na mshindi kati ya Manchester United au Schalke 04.
Fainali itachezwa Mei 28 kwenye uwanja wa Wembley, jijini London.

No comments:

Post a Comment