.

Saturday, May 21, 2011

JAMAA ANAKULA BATA KWA WACHINA.

Wabogojo mcheza Yoga maarufu nchini Tanzania ambaye aliwahi kucheza hata kwenye baadhi ya nyimbo za Lucas Mkenda a.k.a Mr. Nice, kwa sasa Wabogojo anakula bata nchini china akiendelea na shughuli yake hiyohiyo ya sanaa ya Yoga. Kwa taarifa zisizo rasmi, jamaa anadondoka jijini hivi karibuni kwaajili ya mapumziko.

No comments:

Post a Comment