.

Monday, April 25, 2011

NICKI MINAJ NA RIHANA KUFANYA VIDEO YA WIMBO WA "FLY" PAMOJA

Wasanii maarufu katika tasnia ya muziki nchini Marekani Rihanna na Nicki Minajkufanya video kwa ajili ya track ya “Fly.”
Akizungumza na vyombo vya habari nchini Marekani Nicki alisema kuwa wanatengeneza video hiyo yeye pamoja na Rihanna weekend hii na kwamba watautumikia ulimwengu kwa njia nyingi tu na sii hiyo video watakayoitengeneza.
Minaj alikiri kuwa Rihanna ni Mwanamuziki wa kike ambaye anamfeel.
Nicki alisema kuwa angependa kushirikiana na wanamuziki wengine wa muziki mbalimbali  na kwamba huwa hasikilizi muziki wa aina moja tu na angependa watu wote wangesikiliza hivyo kama yeye.  “ninasikiliza miziki ya kila aina, ninasikiliza sana miziki ya injili” alisema Minaj.

No comments:

Post a Comment