.

Monday, April 25, 2011

MHHHH!!!! USHER RAYMOND NA RIHANA WAZUA TETESI ZA KUA MWILI MMOJA


Usher Raymond

KUNA dalili za uhusiano wa kimapenzi kati ya wanamuziki Usher Raymond na Rihanna.

Ishara zilijionyesha wakati wa sherehe iliyoandaliwa na kampuni ya mavazi ya Armani huko Coachella, California.

Jarida la OK! linaripoti kuwa Usher aliomba kuandaliwa meza ya kukaa na Rihanna.

�Usher aliomba mapema kuandaliwa meza ya kukaa karibu na Rihanna,� mtu mmoja alikaririwa na jarida la OK!

�Rihanna ndiye alitangulia kwenye eneo la tukio akiwa na walinzi wake na kufuatiwa na Usher.�

Watu hao wawili inasemekana walikuwa bize wakicheza pamoja usiku wote wa shughuli.

Rafiki yao mmoja wa karibu amedai kuwa watu hao wamekuwa karibu katika siku za karibuni.

No comments:

Post a Comment