.

Thursday, January 27, 2011

WANAWAKE OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

Mwanafunzi aliyeongoza mtihani wa kidato cha nne kitaifa mwaka 2010,Lucylight Mallya (18),amebainika kuwa ni yatima ambaye wazazi wake wote wawili walifariki dunia miaka minne iliyopita.
anasema hakutegemea kama angekuwa wa kwanza na anamshukuru sana mungu na walezi wake waliofanikisha kufika hapo alipo..
Binti huyo alikuwa akisoma katika shule ya sekondari ya marian iliyoko mkoani pwani ,amekuwa akipenda sana kemia na biologia na fizikia .

No comments:

Post a Comment