.

Thursday, January 27, 2011

VODACOM WAZINDUA SIMU MPYA KWA WALEMAVU

Mkuu wa kitengo cha mauzo wa Vodacom Tanzania Upendo Richard akionesha simu maalum kwa ajili ya watu wenye matatizo ya kuskia na kuona..kushoto ni meneja mawasilianao wa kampuni hiyo Nector Foya na kulia Msimamizi wa kitengo cha mauzo wa kampuni hiyo Ngope Kiwanga
Simu maalumu kwa watu wenye matatizo ya kusikia na wasioona pia.Baadhi ya huduma zilizopo katika siimu hiyo ni pamoj na maandishi makubwa katika keypard zake,sauti kubwa sana katika spika zake na kingora maalumu juu ya simu kitakachowawezesha  kuwasiliana wakati wa dharura.
Ni tofauti na simu za kawaida kwani huduma zilizopo katika simu hii hazipatikani katika simu za kawaida.
Simu hizo ni pamoja na S306ZTE ambapo zinapatikana katika maduka mbalimbali maarufu kama vodashop au kwa mawakala wote wa Vodacom waliopo nchi nzima.

No comments:

Post a Comment