.

Sunday, January 9, 2011

MARUFUKU BONDE LA KUNDUCHI

Serikali imepiga marufuku uchimbaji wa kokoto eneo la Kunduchi, Barabara ya Bagamoyo, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kuwaonya watu wote wanaojihusisha na uchimbaji huo kuwa watachukuliwa hatua za kisheria

No comments:

Post a Comment