![]() |
| Haya ni maeneo ya CocoBeach, Maeneo ya kujidai siku za weekend eneo hili limekuwa maarufu sana jijini Dar es Salaam kutokana na msosi unaopatikana hapa ambao ni mihogo na mishkaki. |
![]() |
| Msosi ndio huu......umeiyona mishkaki ya chelewa hiyo.....mitamu balaaa |
![]() |
| Salma Dacotha mhhhh......kama chumvi imepungua |
![]() |
| Lady Hanifa Mwaka huu lazima shavu litoke |
![]() |
| Claud naye hakuwa nyuma kulitafuta shavu |
![]() |
| Baada ya shibe ni kicheko Lady Hanifa na Claud |
![]() |
| Mkoko wa Salma Dacotha ukitua coco beach |







No comments:
Post a Comment