.

Saturday, May 7, 2011

"TOO MUCH IS HARMFULL"

Mbona kila kukicha kuna wimbi la waganga wa jadi wjanajitokeza? hivi hata mikoani kuna mabango ya  MGANGA TOKA DAR? Kwanini wasiungane na kujenga hospitali ya pamoja ili tujue kua huduma zao zinapatikana sehemu flani. Mara utaona huyu anatibu hiki mara kile ilimradi tu ni mganga hata kama hana uzoefu na kitu hicho.

No comments:

Post a Comment