.

Tuesday, April 26, 2011

PINDA AAGIZA UCHUNGUZI DHIDI YA MURO

SERIKALI imeagiza kufanyika uchunguzi wa kina dhidi ya tuhuma zinazomkabili Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro. Agizo hilo lilitolewa bungeni jana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa hapo, akisema serikali itahakikisha hatua zote za uchunguzi dhidi ya tuhuma hizo zinafuatwa na kulifanya liishe haraka. Waziri Mkuu alisema tukio hilo limekuwa  likiendeshwa katika hali ya tofauti kutokana na mtuhumiwa na vyombo vya dola kukimbilia kwenye vyombo vya habari kulizungumzia. Alisema hali hiyo inaweza kuleta hisia tofauti kwa jamii, hivyo kumtaka Waziri wa Mambo ya Ndan.

No comments:

Post a Comment