.

Tuesday, January 25, 2011

IPP MEDIA KATIKA CHAKULA CHA MCHANA NA WALEMAVU

                                     Zoezi hili lilichukua nafasi katika ukumbi wa Diamond jubilee
 Mwenyekiti wa Ipp Media Bw Reginald Mengi akiongea na walemavu waliohudhuria kwa kuwatia moyo wa kutokata tamaa katika maisha.
                                         Wazee wa ze comedy nao hawakuwa nyuma
 Mhalatito tukishow Love kwa kuwahudumia wenzetu walemavu Hanifa Hamidu na Salma Dacotha( WAMILIKI WA BLOG HII .KARIBUNI WADAU)
 Mmmmmmmmhhhhhhhhh!!!!!!! Jamani mtoto mzuri...I feel this babyyyy.
 Salma Dacotha na mtoto mwenye ulemavu wa ngozi
 Waheshimiwa pia walikuwepo.........hapa hapa ndo pakupigia picha ukienda bungeni ntakupata wapi..mh Olesendeka
 Daaaah kiukweli hili tabasamu ni kwa ajili ya huyu mtoto.alinivutia sana ..so cuteeeeeee!!!Lady Hanifa
 Watangazaji wa Capital Tv na Radio nao hawakuwa nyuma ktk kushow love.Glory,Amri Massare,Sara Kipingu
 Dominic Nyalifa wa EATV akikusanya picha za hi 5.ha ha ha ha ha !!!!!!!
 Kwa upande wa burudani wasanii kibao walipaform.mama some food lady jd akiwapa mzuka walemavu
Alikiba nae akiwapa salamu za R kelly.Walikuwepo pia Chid Benz,Ay & Fa,Banana Zorro,Diamond,Marlaw na wengineo pamoja na vikundi mbalimbali vya burudani vya walemavu....Zoezi lilienda vizuri ,Walifurahi na kumtakia maisha marefu Bw Reginald Mengi.

No comments:

Post a Comment