.

Tuesday, December 28, 2010

Khadija Kopa alizwa

Hivi karibuni bi Khadija Omari Kopa ambayae kwa sasa anafanya kipindi cha yaliyomo yamo kwenye segment ya kimasomaso aliibiwa baadhi ya vitu vyake vya ndani na vito vyake vyote vya dhahabu na watu wasiojulukana.
Pole bi Khadija Kopa kwa Maswahiba yaliyokukuta

No comments:

Post a Comment